Buguruni

From Wikipedia, the free encyclopedia

Buguruni
Remove ads

Buguruni ni kata ya wilaya ya Ilala katika [[mkoa]wa Dar es Salaam]], Tanzania, yenye postikodi namba 12102.

Ukweli wa haraka Nchi, Mkoa ...
Thumb
Muonekano wa eneo la biashara huko Buguruni wakati wa mchana.
Thumb
Muonekano wa Daraja la juu la watembea kwa miguu Buguruni.

Katika sensa ya mwaka 2022 wakazi walihesabiwa 47,278 [1]. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2002, kata ilikuwa na wakazi wapatao 67,028 waishio humo.[2]

Remove ads

Maendeleo ya Buguruni

Buguruni ni kata yenye maendeleo. Baadhi ya maendeleo yaliyomo ndani ya kata ya Buguruni ni:

Shule ya Buguruni [3]

Soko la Buguruni

Hospitali ya Buguruni

• Kituo cha Polisi cha Buguruni

• Njia za usafiri

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads