Buguruni
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Buguruni ni kata ya wilaya ya Ilala katika [[mkoa]wa Dar es Salaam]], Tanzania, yenye postikodi namba 12102.


Katika sensa ya mwaka 2022 wakazi walihesabiwa 47,278 [1]. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2002, kata ilikuwa na wakazi wapatao 67,028 waishio humo.[2]
Remove ads
Maendeleo ya Buguruni
Buguruni ni kata yenye maendeleo. Baadhi ya maendeleo yaliyomo ndani ya kata ya Buguruni ni:
• Soko la Buguruni
• Hospitali ya Buguruni
• Kituo cha Polisi cha Buguruni
• Njia za usafiri
Marejeo
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads