Cagliari

manispaa ya Italia, mji mkuu wa jiji kuu la jina moja na Mkoa wa Autonomous wa Sardinia. From Wikipedia, the free encyclopedia

Cagliari
Remove ads

Cagliari ni mji wa Italia katika mkoa wa Sardinia. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2016, mji una wakazi wapatao 154,460 wanaoishi katika mji huu. Mji upo mita 4 juu ya usawa wa bahari.

Thumb
Mji wa Cagliari
Ukweli wa haraka Nchi, Mkoa ...
Remove ads

Tazama pia

Marejeo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads