Chamchanga

From Wikipedia, the free encyclopedia

Chamchanga
Remove ads

Chamchanga ni ndege wa jenasi mbalimbali katika familia ya Scolopacidae. Chamchanga tumbo-jeupe huitwa kiulimazi kwa kawaida. Ndege hawa ni weusi au kahawia na weupe, na wana domo refu na miguu mirefu na myembamba. Huonekana kandi ya bahari, viziwa au mito ambapo hukamata wadudu, gegereka hata samaki wadogo. Hutaga mayai 3-5 ardhini mahali majimaji.

Maelezo zaidi Uainishaji wa kisayansi ...
Remove ads

Spishi za Afrika

Remove ads

Spishi za mabara mengine

Picha

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads