Dalasini

From Wikipedia, the free encyclopedia

Dalasini
Remove ads

Dalasini (kwa Kiingereza cinnamon) ni aina ya kiungo chenye harufu nzuri kilichokaushwa kutoka katika gome la ndani la spishi 6 za miti za jenasi Cinnamomum katika familia Lauraceae inayoitwa mdalasini.[1][2] Gome linaweza kukatwa katika vipande, kuviringishwa katika "vijiti" au kusagwa kuwa ungaunga.

Thumb
Gome la mdalasini

Kiungo hiki hutumika katika mapishi ili kuongeza ladha na kuleta harufu nzuri katika chakula. Pia hutumika kutengenezea chai ya dalasini.

Dalasini ni kiambato kikubwa cha michanganyiko mbalimbali ya viungo kama vile aina kadhaa za masala, k.m. masala ya chai na garam masala.

Remove ads

Faida za mchanganyiko wa dalasini na asali

*1. Hutibu matatizo ya kibofu

*2. Hutibu kansa.

*3. Hutibu matatizo ya uzazi.

*4. Hutibu tumbo.

*5. Hutibu mafua.

*6. Hutibu magonjwa ya ngozi.

*7. Huondoa harufu mbaya mdomoni.

*8. Husaidia kupunguza unene.

*9. Huondoa chunusi.

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads