Mdalasini
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Midalasini ni miti mikubwa kiasi ya jenasi Cinnamomum katika familia Lauraceae ambayo gome lao hutumika kama kiungo kinachoitwa dalasini. Jenasi Cinnamomum ina spishi zaidi ya 300 lakini gome la spishi 6 tu huuzwa kama dalasini.
Remove ads
Spishi
- Cinnamomum burmanni, Mdalasini wa Indonesia
- Cinnamomum cassia, Mdalasini wa Uchina
- Cinnamomum citriodorum, Mdalasini wa Malabar
- Cinnamomum loureiroi, Mdalasini wa Saigon
- Cinnamomum tamala, Mdalasini wa Uhindi
- Cinnamomum verum, Mdalasini wa Kweli au wa Sri Lanka
Picha
- Mdalasini wa Uhindi
- Maua ya mdalasini wa Indonesia
- ”Vijiti” (magome) vya dalasini, unga na maua yaliyokauka ya mdalasini wa kweli
- ”Vijiti” vya mdalasini wa Uchina
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads