Daudi Uribe
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Daudi Uribe (jina kamili kwa Kihispania David Uribe Velasco; Buenavista de Cuellar, Guerrero, Mexico, 29 Desemba 1889 - San José Vidal, Chilpancinga, 12 Aprili 1927) alikuwa padri wa Kanisa Katoliki nchini Meksiko hadi alipouawa bila kesi wakati wa Vita vya Wakristero huku akisamehe wote[1].

Papa Yohane Paulo II alimtangaza mwenye heri tarehe 22 Novemba 1992 halafu mtakatifu mfiadini tarehe 21 Mei 2000 pamoja na wenzake 24 waliofia dini katika vita hivyo[2]:
Sikukuu yao inaadhimishwa kila tarehe 21 Mei ila ya kwake mwenyewe ni tarehe 12 Aprili[3].
Remove ads
Tazama pia
Tanbihi
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads