Kesi

From Wikipedia, the free encyclopedia

Kesi
Remove ads

Kesi (kutoka Kiingereza: case kwa maana ya trial) ni utaratibu wa kuamua kisheria kati ya pande mbili zinazogombana au zinazoshindania kitu. Kwa ajili hiyo kuna mamlaka inayotumia ushahidi.

Thumb
Kesi ya Jean II, Duke of Alençon, Oktoba 1458.
Thumb
Kesi ikiendeshwa huko California.

Siku hizi kesi nyingi zinaendeshwa na hakimu katika mahakama.

Kati ya kesi maarufu zaidi katika historia, ipo ile ya Yesu ambayo ilikuwa pacha: kwanza ya kidini mbele ya kuhani mkuu na baraza la Israeli, halafu ya kisiasa mbele ya liwali Ponsyo Pilato wa Dola la Roma. Hatimaye alipewa adhabu ya kifo.

Remove ads

Tanbihi

Loading content...

Viungo vya nje

Loading content...
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads