Demiana
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Demiana (alifariki mwanzoni mwa karne ya 4) ni kati ya wafiadini Wakristo wa Misri wanaoheshimiwa zaidi na Wakopti.

Anahesabika kama mwanzilishi wa umonaki wa kike[1] na aliuawa kwa ajili ya imani yake pamoja na wafuasi wake 40[2].
Tangu kale anaheshimiwa na Waorthodoksi wa Mashariki kama mtakatifu.
Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 21 Januari.
Tazama pia
Tanbihi
Marejeo
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads