Demiana

From Wikipedia, the free encyclopedia

Demiana
Remove ads

Demiana (alifariki mwanzoni mwa karne ya 4) ni kati ya wafiadini Wakristo wa Misri wanaoheshimiwa zaidi na Wakopti.

Thumb
Picha takatifu ya Mt. Demiana.

Anahesabika kama mwanzilishi wa umonaki wa kike[1] na aliuawa kwa ajili ya imani yake pamoja na wafuasi wake 40[2].

Tangu kale anaheshimiwa na Waorthodoksi wa Mashariki kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 21 Januari.

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads