Uzidishaji
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Katika hisabati, uzidishaji (kwa Kiingereza: multiplication) ni mojawapo kati ya vitendaji vinne vya hesabu(pamoja na ujumlishaji, utoaji na ugawanyaji). Uzidishaji ni kinyume cha ugawanyaji. Alama ya uzidishaji ni ×.[1][2]


Kwa usahihi, uzidishaji ni tendo la kujumlisha namba fulani mara kadhaa. Kwa mfano:
.
Katika mlinganyo huu, 3 ni kizidishi, 4 ni kizidishio na 12 ni zao. Kizidishi na kizidishio ni vigawo vya zao. Hata hivyo, mpangilio wa kizidishi na kizidishio haubadilishi zao. Yaani:
.
Kanuni hii hujulikana kama tabia ya mabadiliko ya kuzidisha.
Remove ads
Marejeo
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads