Uzidishaji

From Wikipedia, the free encyclopedia

Uzidishaji
Remove ads

Katika hisabati, uzidishaji (kwa Kiingereza: multiplication) ni mojawapo kati ya vitendaji vinne vya hesabu(pamoja na ujumlishaji, utoaji na ugawanyaji). Uzidishaji ni kinyume cha ugawanyaji. Alama ya uzidishaji ni ×.[1][2]

Thumb
Mfano wa 3 × 4 = 12 magololi.
Thumb
Alama ya uzidishaji.

Kwa usahihi, uzidishaji ni tendo la kujumlisha namba fulani mara kadhaa. Kwa mfano:

.

Katika mlinganyo huu, 3 ni kizidishi, 4 ni kizidishio na 12 ni zao. Kizidishi na kizidishio ni vigawo vya zao. Hata hivyo, mpangilio wa kizidishi na kizidishio haubadilishi zao. Yaani:

.

Kanuni hii hujulikana kama tabia ya mabadiliko ya kuzidisha.

Remove ads

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads