Dimfna
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Dimfna (pia: Dymphna, Dympna, Dimpna, Dymphnart, Damnat; Geel, Ubelgiji, karne ya 7) alikuwa msichana Mkristo wa Ireland ambaye baba yake mpagani, mfalme Damon wa Oriel, alimkata kichwa kwa sababu alikataa kuolewa naye baada ya kifo cha mama yake[1].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki[2] na Waorthodoksi[3] kama mtakatifu mfiadini.
Remove ads
Tazama pia
Tanbihi
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads
