Dioskoro wa Qais
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Dioskoro wa Qais (alifia dini Aleksandria, Misri, 305 hivi) alikuwa Mkristo wa Qais, Misri, mtoto wa msomaji.
Baada ya kukaa muda mrefu gerezani na kuteswa kwa namba mbalimbali kwa ajili ya imani yake, alikatwa kichwa wakati wa dhuluma ya kaisari Diokletian[1].
Tazama pia
Tanbihi
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads