Domisiani wa Bebron

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Domisiani wa Bebron (pia: wa Bugey; Roma, Italia, 347 hivi - Bugey, leo nchini Ufaransa, 1 Julai 440) alikuwa mmonaki hadi kifo chake katika monasteri aliyoianzisha kwa wale wengi waliomfuata katika makao yake ya upwekeni[1].

Thumb
Sanamu yake.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu[2][3].

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 1 Julai[4].

Tazama pia

Tanbihi

Loading content...

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads