Domnio
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Domnio (pia: Dujam, Duje, Doimus na Domninus; Antiokia, leo nchini Uturuki, karne ya 3 - Salona, leo Solin nchini Kroasya, 304) alikuwa askofu wa Salona aliyeuawa kwa kukatwa kichwa katika dhuluma ya Dola la Roma kwa sababu ya imani yake[1].

Inasemekana aliuawa pamoja na Wakristo wengine 7 wakati wa dhuluma ya kaisari Dioklesyano.
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu mfiadini.
Remove ads
Tazama pia
Tanbihi
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads