Domnio

From Wikipedia, the free encyclopedia

Domnio
Remove ads

Domnio (pia: Dujam, Duje, Doimus na Domninus; Antiokia, leo nchini Uturuki, karne ya 3 - Salona, leo Solin nchini Kroasya, 304) alikuwa askofu wa Salona aliyeuawa kwa kukatwa kichwa katika dhuluma ya Dola la Roma kwa sababu ya imani yake[1].

Thumb
Mt. Domnio akishika mkononi mji wa Split.

Inasemekana aliuawa pamoja na Wakristo wengine 7 wakati wa dhuluma ya kaisari Dioklesyano.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yao huadhimishwa tarehe 11 Aprili[2].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Loading content...

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads