Drogo

From Wikipedia, the free encyclopedia

Drogo
Remove ads

Drogo (pia: Dreux, Drugo, Druron; Epinoy, Artois, leo nchini Ufaransa, 14 Machi 1105 - Sebourg, Ufaransa Kaskazini, 16 Aprili 1186 hivi) alikuwa Mkristo aliyetamani maisha manyofu na upweke. Kwa ajili hiyo kwa miaka mingi alifanya kazi ya kuchunga na hakuwa na makao maalumu, akitembelea patakatifu mbalimbali, halafu akawa mkaapweke katika chumba kidogo kilichounganika na kanisa[1][2][3].

Thumb
Sanamu ya Mt. Drogo.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe ya kifo chake[4].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads