Droside

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Droside au Anisia (alifariki karne ya 3 au ya 4) alikuwa mwanamke wa Antiokia ya Syria (leo nchini Uturuki) aliyefia dini ya Ukristo kwa kuchomwa moto kama alivyohubiri Yohane Krisostomo[1].

Kwa sababu hiyo tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 14 Desemba[2] au siku nyingine kadiri ya madhehebu.

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads