Dully Sykes
msanii wa bongo fleva kutoka Tanzania From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Abdul Sykes (alizaliwa 4 Desemba, 1980),[1] ni mwanamuziki wa Tanzania. Anakadiriwa kuwa mmoja wa waanzilishi wa mwanzo wa muziki wa kizazi kipya Tanzania maarufu kama Bongo Flava.
Remove ads
Wasifu
Dully Sykes kama anavyojulikana kwa majina, Mr. Chicks au Mr. Misifa Ni mjukuu wa Abdulwahid Sykes, mwanaharakati wa kudai uhuru wa Tanganyika. Sykes anajulikana kwa nyimbo zake maarufu zinatokana na matukio ya kweli kama Historia ya Kweli, Julieta, Leah, na Salome. Kufuatia kutolewa kwa albamu yake ya kwanza, Historia ya kweli, mwaka wa 2003.Sykes ameendelea kubaki katika chati za juu za muziki wa Tanzania akishirikiana na wasanii wakubwa wa muziki kutokea nchini Tanzania kama Harmonize na Marioo
Remove ads
Kili Music Awards
Hizi ni tuzo alizoshiriki au kupokea kutoka Kili Music Awards katika misimu tofauti[2].
Remove ads
Marejeo
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads