Edbati wa Lindisfarne
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Edbati wa Lindisfarne (jina asili: Eadberht; alifariki 6 Mei 698) alikuwa mmonaki, halafu askofu wa Lindisfarne kuanzia mwaka 688 hadi kifo chake.
Mwanafunzi wa Cuthbert wa Lindisfarne, alikuwa maarufu kwa ujuzi wa Biblia, utekelezaji wa amri za Mungu na hasa kwa ukarimu wake kwa maskini[1].
Hata baada ya kupewa uaskofu alitumia muda wa kutosha katika kimya na sala pamoja na kushika ufukara.
Tangu kale anaadhimishwa na Wakatoliki[2] na Waorthodoksi[3] kama mtakatifu, hasa tarehe aliyofariki dunia.
Remove ads
Tazama pia
Tanbihi
Marejeo ya Kiswahili
Marejeo ya lugha nyingine
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads