Edbati wa Lindisfarne

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Edbati wa Lindisfarne (jina asili: Eadberht; alifariki 6 Mei 698) alikuwa mmonaki, halafu askofu wa Lindisfarne kuanzia mwaka 688 hadi kifo chake.

Mwanafunzi wa Cuthbert wa Lindisfarne, alikuwa maarufu kwa ujuzi wa Biblia, utekelezaji wa amri za Mungu na hasa kwa ukarimu wake kwa maskini[1].

Hata baada ya kupewa uaskofu alitumia muda wa kutosha katika kimya na sala pamoja na kushika ufukara.

Tangu kale anaadhimishwa na Wakatoliki[2] na Waorthodoksi[3] kama mtakatifu, hasa tarehe aliyofariki dunia.

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo ya Kiswahili

Marejeo ya lugha nyingine

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads