Cuthbert wa Lindisfarne

From Wikipedia, the free encyclopedia

Cuthbert wa Lindisfarne
Remove ads

Cuthbert wa Lindisfarne (634 hivi – 20 Machi 687) alikuwa Mkristo mwenye juhudi kama mmonaki, kama askofu na hatimaye kama mkaapweke [1] mipakani mwa Uingereza na Uskoti wa leo[2] .

Thumb
Mt. Cuthbert wa Lindisfarne katika dirisha la kioo cha rangi la kanisa kuu la Gloucester.

Alifaulu kupatanisha msimamo mkali wa Ukristo wa Kiselti na desturi za Kanisa la Roma [3].

Tangu kale anaadhimishwa kama mtakatifu, hasa tarehe 20 Machi[4], lakini pia 31 Agosti na 4 Septemba.

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo ya Kiswahili

Marejeo ya lugha nyingine

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads