Elias John Kwandikwa

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Elias John Kwandikwa alikuwa mwanasiasa Mtanzania, mwanachama wa chama cha kisiasa cha CCM. Alichaguliwa kuwa mbunge wa Ushetu kwa miaka 20152020 [1] akarudishwa mwaka 2020 na kuteuliwa kuwa Waziri wa Ulinzi[2].

Alifariki dunia akiwa Dar es Salaam, katika Hospitali ya taifa ya Muhimbili, tarehe 2 Agosti 2021. [3][4]

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads