Elpidi

From Wikipedia, the free encyclopedia

Elpidi
Remove ads

Elpidi alikuwa Mkristo aliyeishi katika mkoa wa Marche, Italia, labda kama mkaapweke katika karne ya 4 akitokea Kapadokia, leo nchini Uturuki.

Thumb
Alivyochorwa na Giacomo di Nicola da Recanati, mwaka 1425.

Alizikwa katika kijiji kilichopewa jina lake (Sant'Elpidio a Mare)[1].

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu.

Sikukuu yake ni tarehe 2 Septemba[2].

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads