Emiliani wa Cogolla

From Wikipedia, the free encyclopedia

Emiliani wa Cogolla
Remove ads

Emiliani wa Cogolla (La Rioja, 12 Novemba 472 - La Rioja, 11 Juni 573) alikuwa mkaapweke wa Hispania wakati wa utawala wa Wavisigothi.

Thumb
Sanamu yake.

Miaka arubaini baada ya kuishi hivyo, alipewa upadirisho na parokia lakini mapadri wengine walimuonea kijicho kwa ari yake, hivyo alirudi upwekeni alipoanza kupata wafuasi.

Anakumbukwa pia kwa ukarimu wake kwa maskini na kwa karama ya unabii [1].

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 12 Novemba[2].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads