Emiliani wa Valence

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Emiliani wa Valence (alifariki Valence, leo nchini Ufaransa, mwishoni mwa karne ya 4) alikuwa askofu wa kwanza wa mji huo[1] .

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu[2] .

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 13 Septemba[3].

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads