Emiliani wa Valence
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Emiliani wa Valence (alifariki Valence, leo nchini Ufaransa, mwishoni mwa karne ya 4) alikuwa askofu wa kwanza wa mji huo[1] .
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu[2] .
Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 13 Septemba[3].
Tazama pia
Tanbihi
Marejeo
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads