Eneo la ng'ambo la Uingereza

From Wikipedia, the free encyclopedia

Eneo la ng'ambo la Uingereza
Remove ads

Eneo la ng'ambo la Uingereza ni lolote kati ya maeneo 14 ambayo ni chini ya serikali ya Uingereza lakini si sehemu za nchi.

Thumb
Ramani ya maeneo ya ng'ambo ya Uingereza
(Eneo la Kiingereza kwenye Antaktika na Akrotiri na Dhekelia (Kupro) havionyeshwi)

Kwa Kiingereza yameitwa "British Overseas Territory" tangu ilipotungwa sheria ya mwaka 2002 badala ya jina la awali "British dependent territory" yalivyoitwa tangu mwaka 1981. Kabla ya 1981 yaliitwa "makoloni"

Hali ya maeneo hayo ni tofauti na ile ya Jumuiya ya Madola ambayo ni jumuiya ya hiari ya baadhi ya makoloni ya zamani ya Uingereza na nchi nyingine zilizopenda kujiunga.

Remove ads

Mambo ya kisheria

Kwa jumla wakazi wa maeneo ya ng'ambo ya Uingereza ni raia wa Uingereza na wana haki kuhamia Uingereza yenyewe. Kila eneo lina bunge lake na uhuru fulani wa kutunga sheria zake.

Visiwa vya mfereji wa Kiingereza (Jersey, Guernsey) na Isle of Man si maeneo ya ng'ambo ya Uingereza bali "maeneo chini ya taji la Uingereza".

Maeneo ya ng'ambo ya Uingereza

Maelezo zaidi Bendera, Mahali ...
Remove ads

Viungo vya Nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads