Eparki wa Angouleme
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Eparki wa Angouleme (kwa Kifaransa: Cybard, Ybars au Éparche; Angouleme, Akwitania, leo nchini Ufaransa, 504 - 581) alikuwa padri ambaye aliishi miaka 39 kwa toba kali akiwa amejifungia upwekeni[1][2][3].
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.
Tazama pia
Tanbihi
Marejeo
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads