Epifanio wa Pavia

From Wikipedia, the free encyclopedia

Epifanio wa Pavia
Remove ads

Epifanio wa Pavia (438-496[1]) alikuwa askofu wa mji huo (Italia) kuanzia mwaka 466 hadi kifo chake[2].

Thumb
Mt. Epifanio.

Pamoja na kuongoza vizuri jimbo lake, alifanya kazi ya mpatanishi wakati wa vurugu kubwa zilizosababishwa na uvamizi wa makabila ya Wagermanik nchini Italia [3]. Pia alijitahidi kukomboa waliotekwa na kujenga upya mji ulioteketezwa.[4].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake ni 21 Januari[5].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads