Erasmo wa Formia
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Erasmo wa Formia (pia: Elmo; alifariki Formia, leo katika mkoa wa Lazio, Italia, 303 hivi) alikuwa askofu aliyeuawa wakati wa dhuluma ya kaisari Diokletian dhidi ya imani hiyo[1][2][3][4].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu mfiadini[5].
Tazama pia
Tanbihi
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads