Erasmo wa Formia

From Wikipedia, the free encyclopedia

Erasmo wa Formia
Remove ads

Erasmo wa Formia (pia: Elmo; alifariki Formia, leo katika mkoa wa Lazio, Italia, 303 hivi) alikuwa askofu aliyeuawa wakati wa dhuluma ya kaisari Diokletian dhidi ya imani hiyo[1][2][3][4].

Thumb
Kifodini cha Mt. Erasmus, Poussin.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu mfiadini[5].

Sikukuu yake inaadhimishwa tarehe 2 Juni[6].

Tazama pia

Tanbihi

Loading content...

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads