Erasto wa Korintho

From Wikipedia, the free encyclopedia

Erasto wa Korintho
Remove ads

Erasto wa Korintho (kwa Kigiriki: Ἔραστος, Erastos) ni Myahudi wa karne ya 1 mwenye cheo kikubwa kama mtunzahazina wa mji wa Korintho (Ugiriki)[1] anayejulikana hasa kutokana na Matendo ya Mitume (19.22) na Barua za Mtume Paulo (Rom 16:23; 2Tim 4:20) kwa sababu ya kujiunga na Ukristo na kushirikiana naye[2].

Ukweli wa haraka Feast ...

Anaheshimiwa na madhehebu mbalimbali ya Ukristo kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 26 Julai[3]

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads