Eskil wa Tuna

From Wikipedia, the free encyclopedia

Eskil wa Tuna
Remove ads

Eskil wa Tuna (Uingereza, karne ya 10 - Uswidi, karne ya 11) alikuwa askofu mmisionari huko Uswidi hadi alipouawa kwa kupigwa mawe mwaka 1038 au 1080[1].

Thumb
Mt. Eskil alivyochorwa.

Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake ni tarehe 12 Juni[2].

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads