Eskil wa Tuna
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Eskil wa Tuna (Uingereza, karne ya 10 - Uswidi, karne ya 11) alikuwa askofu mmisionari huko Uswidi hadi alipouawa kwa kupigwa mawe mwaka 1038 au 1080[1].

Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki kama mtakatifu mfiadini.
Tazama pia
Tanbihi
Marejeo
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads