Eujendo wa Condat
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Eujendo wa Condat (kwa Kilatini: Eugendus au Augendus; kwa Kifaransa: Oyand au Oyan; 449 - 1 Januari 510) alikuwa mmonaki kutoka Ufaransa aliyepata kuwa abati wa Condat na kustawisha maisha ya kitawa [1].
Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu.
Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 1 Januari[2], lakini pia 4 Januari.
Tazama pia
Tanbihi
Marejeo
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads