Eujendo wa Condat

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Eujendo wa Condat (kwa Kilatini: Eugendus au Augendus; kwa Kifaransa: Oyand au Oyan; 449 - 1 Januari 510) alikuwa mmonaki kutoka Ufaransa aliyepata kuwa abati wa Condat na kustawisha maisha ya kitawa [1].

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 1 Januari[2], lakini pia 4 Januari.

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads