Euplo
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Euplo (alifariki Catania, Italia, 12 Agosti 304) alikuwa shemasi aliyefia Ukristo kwa kukatwa kichwa wakati wa dhuluma ya kaisari Diokletian[1].

Kadiri ya mapokeo, gavana Kalvisiani alimtia gerezani kwa sababu alikutwa na Injili mikononi. Kisha kuhojiwa mara kadhaa, alipigwa hadi kufa kwa kuwa alijibu kwamba anajivunia kutunza Injili moyoni.
Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu mfiadini, hasa tarehe 12 Agosti ambayo ndiyo sikukuu yake[2].
Remove ads
Tazama pia
Tanbihi
Marejeo ya Kiswahili
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads