Eupsiki

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Eupsiki (alifariki Kaisarea wa Kapadokia, katika Uturuki ya leo, 362 hivi) alipata kuwa mfiadini wa Kikristo katika dhuluma ya kaisari Juliani Mwasi kutokana na kubomoa hekalu la mungu wa kike Bahati.[1]

Thumb
Mt. Eupsiki alivyochorwa.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 9 Aprili[2].

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads