Evermodo

From Wikipedia, the free encyclopedia

Evermodo
Remove ads

Evermodo, O.Prem. (Ubelgiji, 1100 hivi – Ratzeburg, Ujerumani, 17 Februari 1178) alikuwa Mkristo ambaye, baada ya kuguswa na mahubiri ya Norbert wa Xanten, akawa kanoni wa shirika la Premontree aliongozana naye hadi alipofariki dunia.

Thumb
Mt. Evermodo kati ya watakatifu wawili.

Baadaye akaongoza na kuanzisha monasteri mbalimbali[1].

Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki kama mtakatifu. Heshima hiyo ilithibitishwa na Papa Benedikto XIII mwaka 1728.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 17 Februari[2].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads