Filastri
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Filastri (330 - 387 hivi) anakumbukwa kama askofu wa 6 wa Brescia (Italia Kaskazini)[1].

Asili yake haijulikani: zinatajwa Italia, Hispania na Misri.
Alitunga kitabu kilichoorodhesha aina 156 za uzushi (Diversarum Hereseon Liber; kifupi: De Haeresibus) kutokana na safari zake nyingi za kimisionari alipopigwa mijeledi pia.
Alisifiwa na mwandamizi wake Gaudioso wa Brescia katika hotuba ya kila mwaka; imetufikia moja, iliyo chanzo kikuu cha taarifa juu ya maisha na kifo chake[2].
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.
Remove ads
Tazama pia
Tanbihi
Matoleo ya kitabu chake
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads