Filipo Benizi
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Filipo Benizi, O.S.M. (Firenze, Italia ya Kati, 15 Agosti 1233 - Todi, Italia ya Kati, 23 Agosti 1285) alikuwa padri mtawa wa shirika la Watumishi wa Maria.

Ingawa aliingia utawani abaki bradha, baadaye alipadrishwa akafikia kuwa mkuu wa shirika lote (1267) akalieneza kwa bidii [1].
Pamoja na hayo alikuwa maarufu kwa unyenyekevu wake na kumuona Yesu msulubiwa kuwa kitabu chake pekee [2]
Alitangazwa na Papa Inosenti X kuwa mwenye heri tarehe 8 Oktoba 1645, halafu Papa Klementi X alimtangaza mtakatifu tarehe 12 Aprili 1671.
Remove ads
Tazama pia
Tanbihi
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads