Filipo Smaldone

From Wikipedia, the free encyclopedia

Filipo Smaldone
Remove ads

Filipo Smaldone (Napoli, Campania, Italia, 27 Julai 1848 Lecce, Puglia, 4 Juni 1923) alikuwa padri wa Kanisa Katoliki aliyeshughulikia maisha yake yote malezi ya kiutu na ya Kikristo ya mayatima, mabubu na viziwi akaanzisha shirika la kitawa la Masista Wasalesiani wa Mioyo Mitakatifu [1].

Thumb
Sanamu yake.

Alikuwa pia na uwezo mkubwa wa kuhubiri na kutoa katekesi.

Papa Yohane Paulo II alimtangaza mwenye heri tarehe 12 Mei 1996 halafu Papa Benedikto XVI alimtangaza mtakatifu tarehe 15 Oktoba 2006.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe ya kifo chake.[2]

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads