Firmino wa Uzes

From Wikipedia, the free encyclopedia

Firmino wa Uzes
Remove ads

Firmino wa Uzes (480 - 553 hivi) alikuwa askofu wa tatu au wa nne wa Uzès nchini Ufaransa kuanzia mwaka 538.

Thumb
Masalia ya Firmino wa Uzes.

Alikuwa mfuasi na rafiki wa Sesari wa Arles akafundisha sana ukweli kwa watu[1].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 11 Oktoba[2].

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads