Florido

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Florido (Città di Castello, Umbria, Italia, 520 - Pietralunga, 13 Novemba 599) alikuwa askofu wa mji wake wa asili mwaka kuanzia mwaka 580 hadi kifo chake.

Papa Gregori I aliandika juu yake [1] kuthibitisha alikuwa na imani sahihi na maisha maadilifu sana[2].

Tangu zamani anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake inaadhimishwa kila mwaka tarehe 13 Novemba pamoja na ya padri wake Amansi [3].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads