Fortunati wa Montefalco

From Wikipedia, the free encyclopedia

Fortunati wa Montefalco
Remove ads

Fortunati wa Montefalco alikuwa padri wa Kanisa Katoliki aliyeishi kati ya karne ya 4 na ya 5 katika Italia ya Kati, akifanya uchungaji kama paroko pamoja na kufanya kazi kwa bidii ili kujitegemea na kusaidia fukara wenzake, akitoa hivyo maisha yake kuhudumia wengine[1].

Thumb
Mchoro wa ukutani ukimuonyesha Mt. Fortunati.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu[2].

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 1 Juni[3].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads