Fortunati wa Napoli
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Fortunati wa Napoli (alifariki karne ya 4) alikuwa askofu wa Napoli, Italia, labda katika miaka 347-359.
Anasifiwa kwa uaminifu wake kwa imani sahihi dhidi ya Uario [1].
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.
Tazama pia
Tanbihi
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads