Frances Cabrini

From Wikipedia, the free encyclopedia

Frances Cabrini
Remove ads

Fransiska Saviera Cabrini (Sant'Angelo Lodigiano, Italia, 15 Julai 1850 Chicago, Illinois, Marekani, 22 Desemba 1917) alikuwa mwanzilishi wa shirika la Masista Wamisionari wa Moyo Mtakatifu (kwa Kiingereza Missionary Sisters of the Sacred Heart).

Thumb
Mtakatifu Frances Xavier Cabrini.

Jumuiya hiyo ilianzia Italia na kufanya kazi hasa Marekani kati ya wahamiaji kwa kujenga shule, hospitali na nyumba kwa watoto yatima kwa kufuata mfano wake aliyejitoa kwa kila namna kuhudumia wahamiaji kwa upendo mkubwa ajabu [1].

Mwaka 1946 Mama Cabrini alitangazwa kuwa mtakatifu akiwa raia Mmarekani wa kwanza kupewa heshima hiyo.

Sikukuu yake ni tarehe 22 Desemba[2].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo ya Kiswahili

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads