Fronto na wenzake
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Fronto (alifariki karne ya 2 au ya 4) alikuwa Mkristo wa Misri ambaye alikwenda kuishi kimonaki jangwani pamoja na wenzake 70 akiwa abati wao [1].
Tangu kale wanaheshimiwa na Wakatoliki kama watakatifu.
Tazama pia
Tanbihi
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads