Fujo
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Fujo (kwa Kiingereza: confusion) ni ghasia au machafuko katika jamii. Ni hali ambapo kuna vurugu au kutokuwa na utulivu katika mazingira fulani. Fujo hizo zinaweza kutokana na sababu mbalimbali kama migogoro, maandamano, au kutofautiana kwa maoni.

Vilevile fujo inaweza kuwepo akilini kwa sababu mbalimbali[1] ambazo zinachunguzwa na elimunafsia ili kumsaidia mhusika kutulia na kupanga vizuri maisha yake. Kiwango chake kinaweza kuwa tofauti sana, hadi kufikia kichaa[2][3].
Remove ads
Tanbihi
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads