Fulbati

From Wikipedia, the free encyclopedia

Fulbati
Remove ads

Fulbati (952/970 - Chartres, Neustria, leo nchini Ufaransa, 10 Aprili 1028) alikuwa askofu wa mji huo kuanzia mwaka 1006 hadi kifo chake [1]

Thumb
Sanamu yake katika kanisa kuu la Chartres.

Alikuwa akifundisha huko na kuandika barua na vitabu mbalimbali vilivyotufikia[2].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki kama mtakatifu[3].

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 10 Aprili[4].

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo ya Kiswahili

Marejeo ya lugha nyingine

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads