Fulkrano

From Wikipedia, the free encyclopedia

Fulkrano
Remove ads

Fulkrano (karne ya 10 - 13 Februari 1006 BK) alikuwa askofu wa Lodeve (leo nchini Ufaransa) kuanzia mwaka 949 hadi kifo chake[1].

Thumb
Muujiza wa Mt. Fulkrano.

Alijitahidi kudai waklero na watawa washike maadili yao, alistawisha liturujia na kusaidia fukara[2].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 13 Februari[3].

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads