Fursei abati

From Wikipedia, the free encyclopedia

Fursei abati
Remove ads

Fursei abati (pia: Fursey, Fursa, Fursy, Forseus au Furseus; Connacht, Ireland, 597 hivi - Mézerolles, Ufaransa, 650 hivi) alikuwa mmonaki wa Ukristo wa Kiselti[1] aliyefanya kazi kubwa kueneza imani na umonaki kotekote katika visiwa vya Britania, hasa kati ya Waanglia[2][3].

Thumb
Mt. Fursei na mmonaki.

Umaarufu wake ulipomvutia umati wa watu, alihamia Ufaransa alipoendelea kuinjilisha hadi kifo chake[4].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 16 Januari[5].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Maandishi yake

Marejeo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads