Gangolfi

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Gangolfi (alifariki Avallon, Yonne, leo nchini Ufaransa, 11 Mei 760) alikuwa kabaila wa Burgundy[1] maarufu kwa imani na uadilifu hadi alipouawa na hawara wa mke wake[2].

Thumb
Mt. Gangolfi alivyochorwa na Meister von Meßkirch, 1535 hivi.

Anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 11 Mei[3].

Tazama pia

Tanbihi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads