Genadi wa Astorga

From Wikipedia, the free encyclopedia

Genadi wa Astorga
Remove ads

Genadi wa Astorga, O.S.B. (kwa Kihispania: Genadio, Juanacio[1]; Leon, Hispania, 865 - Peñalba de Santiago, 936) alikuwa mmonaki Mbenedikto nchini Hispania akawa abati.

Thumb
Sanamu ya Mt. Genadi.

Alifanywa askofu wa Astorga miaka 899 - 920 akawa mshauri wa wafalme, lakini, akitamani kurudia umonaki, alijiuzulu akaishi kama mkaapweke hadi kifo chake[2][3].

Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki kama mtakatifu.

Sikukuu yake inaadhimishwa kila tarehe 25 Mei[4].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads