Goar
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Goar (Aquitaine, leo nchini Ufaransa, 585 hivi - Oberwesel, leo nchini Ujerumani, 6 Julai 649[1]) alikuwa padri na mkaapweke ambaye, kwa msaada wa askofu wa Trier, alijenga hoteli na hospitali kwa ajili ya kuwahudumia kiroho na kimwili wapitanjia[2].

Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki na Kanisa la Kiorthodoksi kama mtakatifu.
Remove ads
Tazama pia
Tanbihi
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads