Godfredo wa Cappenberg

From Wikipedia, the free encyclopedia

Godfredo wa Cappenberg
Remove ads

Godfredo wa Cappenberg (Cappenberg, 1096/1097Ilbenstadt, 13 Januari 1127) alikuwa mtemi nchini Ujerumani ambaye, baada ya kuguswa na mahubiri ya Norbert wa Xanten alianzisha monasteri katika ngome yake huko Ilbenstadt, dhidi ya shauri la masharifu, naye mwenyewe hatimaye akawa kanoni wa shirika la Premontree na kushughulikia sana wahitaji na wagonjwa[1].

Thumb
Sanamu yake.

Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki kama mtakatifu. Heshima hiyo ilithibitishwa na Papa Benedikto XIII mwaka 1728.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 13 Januari[2].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads